Thursday, 8 September 2016

VITU HATARISHI KWA UBONGO WETU

 Kujifunika kichwa wakati wa kulala . Inaweza ikaonekana kama kitu cha ajabu kwa uhalisia tunahitaji hewa safi hasa wakati wa kulala hii inasababisha kupunguza kiwango cha kupumua hewa safi.
 Uvutaji wa hewa chafu unapelekea kunyima ubongo hewa safi kwavile ubongo unahitaji sana hewa safi ili ufanye kazi vizuri.
 Kiwango kikubwa cha sukari ni chanzo kimojawapo cha uharibifu kwa ubongo.
 Uvutaji sigara unaharibu kwa kiasi kikubwa ubongo na ina madhara mengi mwilini. Kwa madhara katika ubongo inasababisha ubongo kusinyaa na hata kusababisha madhara ya akili 
 Kukosa mawazo mazuri na vichocheo katika mawazo kunaweza pelekea ubongo kusinyaa kwa kutokuutendea kazi.
 Kutokupata kifungua kinywa kila mara inaharibu mfumo wa sukari mwilini na usipokula ubongo hautapata virutubisho na ni rahisi kuharibiwa.
 Kuongea mara chache kunaharibu ubongo. Kwasababu kuongea sana inasababisha ubongo kufanya kazi vizuri na kuuchangamsha.
 Kukosa usingizi kwa muda mrefu inapunguza afya ya seli za ubongo.
Kula kupita kiasi inapelekea uzito kuongezeka na kudidimiza ubongo na kupunguza uwezo wa kufikiri.

VYAKULA UNAVYOWEZA KUCHANGANYA PAMOJA NA VIKAKUPA MATOKEO MAZURI KWA AFYA

 Spinach na limao,mboga za majani zina wingi wa madini ya chuma unapokamulia limao kidogo inasaidia kufyonza madini ya chuma kwa ufanisi zaidi.
 Strwaberries na spinach changanya pamaoja tengeneza salad kama una tatizo la upungufu wa damu kwa mchanganyiko huo wa madini ya chuma kutoka kwa spinach na wingi wa vitamin c kutoka kwenye strwaberries utapata damu kwa wingi.
 Nyanya na mafuta ya mzeituni kwa mchanganyiko huu inasaidia kupunguza kiwango cha mafuta mwilini,shinikizo la damu na ukuaji wa kansa.
 Jibini na yai, mwili unahitaji vitamini D ili kuimarisha mifupa. Kiini cha yai kina vitamin D kwa wingi. Kaanga yai na nyunyizia jibini juu ya yai.
 Mchanganyiko huu wa matunda ya blackberries,blueberries strwaberries na raspberries yakichanganywa pamoja yatakupa lishe ya kutosha sana mwilini.
 Ndizi na maziwa ya mtindi yanafaa kwa kifungua kinywa chako au mara baada ya mazoezi . Ni mchanganyiko wa pottasium inayopatikana kwenye ndizi na protini inayopatikana kweney maziwa mtindi inasaidia kujenga misuli na kujaza amino acid iliyopungua wakati wa mazoezi ya viungo.
Samaki na unga wenye mchanganyiko wa viungo mbalimbali.Samaki ana madini mengi  na shahamu DHA na EPA vikichanganywa vizuri inasaidia kupunguza hatari ya kupata kansa.

ZIFAHAMU FAIDA 10 ZA NDIZI MBIVU MWILINI


Ndizi ni tunda lenye Vitamin C kwa wingi faida nyingi mwilini lakini leo nitazungumzia faida kumi tu.
  1. Ndizi ina uwezo mkubwa wa kuondoa unyongovu au huzuni.
  2. Ina uwezo wa kurekebisha mfumo wa tumbo
  3. Ina uwezo wa kupunguza shinikizo la damu na hatari ya ugonjwa wa moyo
  4. Inasaidia mifupa kuwa imara kabisa
  5. Kwa mtu mmoja kuna uwezekano wa kupunguza au kuacha uvutaji sigara
  6. Inasaidia kuzuia upungufu wa damu mwilini
  7. Inatupatia nguvu kama italiwa kila mara
  8. Kupunguza maumivu wakati wa hedhi
  9. Kutupa nguvu ya ubongo
  10. Kusaidia kuzuia vidonda vya tumbo.











Banana Nutrition Facts

Serving Size: 3.5 ounces (100 grams), raw
% Daily
Value
*
Amt. Per
Serving
Calories
89
    Calories from fat
3
Total fat
0 g
1%
    Saturated fat
0 g
1%
    Trans fat
Cholesterol
0 mg
0%
Sodium
1 mg
0%
Total Carbohydrate
23 g
8%
    Dietary Fiber
3 g
10%
    Sugar
12 g
Protein
1 g
Vitamin A
1%
Vitamin C
15%
Calcium
1%
Iron
1%
*Percent Daily Values are based on a 2,000 calorie diet. Your daily values may be higher or lower depending on your calorie

VYAKULA NA MATUNDA YANAYOFANANIA NA VIUNGO VYETU VYA MWILI