Sunday, 2 October 2016

PAMBANA NA KANSA KWA KUTUMIA VIUNGO HIVI

Kansa au kwa jina lingine unajulikana kama saratani umekuwa ugonjwa unaotesa watu wengi duniani ,kansa kwa kawaida husababishia mwili madhara mengi maana hushambulia tishu za mwili kutokana na kuunda vimbe ( tumor )mbalimbali kwenye mwili. Ila kwa upande wa kansa ya damu ni tofauti maana hapa huzuia utendaji wa kawaida wa damu na kuzifanya seli ziwe na mgawanyiko usio wa kawaida katika damu. Lakini unaweza pamban na kansa kwa kutumia viungo chakula hivi.


  • Kitunguu swaumu
  • Tangawizi
  • Mdalasini
  • Binzari
  • Pilipili


  • UNASUMBULIWA NA MAFUA?

    Mafua yamekuwa yakimpata karibia kila mtu ila kuna baadhi ya watu hupatwa na tatizo la mafua mara kwa mara, hivyo basi kama unaona unasumbuliwa mara kwa mara suluhisho lake ni kuhakikisha unakula kitunguu kibichi mara kwa mara kwa maana katika kitunguu kuna Vitamin C, fiber, sulfur na virutubisho vinginevyo.


    • USISUMBUKE TENA PONA MAFUA KWA HARAKA KWA KUTAFUNA KITUNGUU KIBICHI!!!