Sunday, 28 August 2016

JINSI YA KUMALIZA TATIZO LA VISUNZUA

Tatizo la visunzua au Moles kwa lugha ya kigeni ni tatizo linalowakabili watu wengi, na wengi wetu tumeshindwa kupata suluhisho la tatizo hili hapa nimejaribu kuwaletea tiba ya asili ambayo itaweza kukusaidia kuondokana na tatizo hili.Visunzua ni tatizo la kutoka vinyama vidogo vidogo mwilini, ni tatizo linawakabili wanawake kwa wanaume. Kumekuwa na imani tofauti tofauti kuhusiana na tatizo hili. Inasemekana visunzua hutokana na tatizo la homoni mwilini,unene kupita kiasi, mabadiliko wakati wa mimba na kisukari.
Visunzua hutokea kutokana na seli kukua katika ukuta wa ngozi badala ya seli hizo kuenea kwenye ngozi kwa kiitaalum seli hizo huitwa melanocytes. Nitakueleza baadhi ya vitu vichache ambavyo unaweza kutengeneza mwenyewe nyumbani na vikakuletea matokea yatakayokushangaza.
Visunzua hutokea kutokana na seli kukua katika ukuta wa ngozi badala ya seli hizo kuenea kwenye ngozi kwa kiitaalum seli hizo huitwa melanocytes. Nitakueleza baadhi ya vitu vichache ambavyo unaweza kutengeneza mwenyewe nyumbani na vikakuletea matokea yatakayokushangaza.Visunzua hutokea kutokana na seli kukua katika ukuta wa ngozi badala ya seli hizo kuenea kwenye ngozi kwa kiitaalum seli hizo huitwa melanocytes. Nitakueleza baadhi ya vitu vichache ambavyo unaweza kutengeneza mwenyewe nyumbani na vikakuletea matokea yatakayokushangaza.

  • KITUNGUU SWAUMU, BAKING SODA NA LIMAO


Menya kitunguu swaumu kisage vizuri kiwe laini kabisa changanya na baking soda kijiko kimoja kisha changanya na limao. Paka mchanganyiko kwenye visunzua ukiweza funga na plasta au bandeji kaa kwa masaa 2-3 kisha osha. Paka mara 3 kwa siku. Ni vizuri kama utalala nayo baada ya muda mfupi utaona matokeo y ajabu.

  • GANDA LA NDIZI

Ukimaliza kula ndizi yako hakikisha hutupi ganda kama unatatizo hili la visunzua. Utakachotakiwa kufanya ni kubandika sehemu ya ndani ya ganda la ndizi na ususgue kwenye visunzua mara nyingi uwezavyo kwa siku kisha kata kipande kidogo bandika penye visunzua hivyo kwa kutumia plasta.

  • KITUNGUU MAJI NA APPLE CIDER
Kata kaya vitunguu weka kwenye bakuli changanya na kiasi cha apple cider, viloweke usiku kucha. Asubuhi chukua vibandike kwenye visunzua kwa masaa 4-5 fanya kwa wiki nzima utapenda matokeo ya tiba hii.

UKIWA NA MAUMIVU YOYOTE TUMIA VITU HIVI


TIBA ASILIA YA KUONDOA KIFUA



Kijiko kimoja cha binzari ukichanganya  na maziwa yaliyochemshwa vizuri nimoja kati ya tiba ya kuondoa kifua 

 Kifua ni hali ya inayokera watu wengi kiasi cha kupelekea watu kutumia dawa mbalimbali. Lakini kuna kifua ambacho ni cha kawaida kabisa kwa ajili ya kusafisha koo kutokana na vumbi au moshi. Lakini kama unasumbuliwa na kifua unaweza ukatumia dawa hizi za asili na unaweza kutengeneza nyumbani. Kuwa na asali ndani ya nyumba ni muhimu sana maana ni moja kati ya dawa.

VYANZO VINGINE VYENYE WINGI WA PROTINI



KILA TATIZO LINA TIBA YAKE











TAMBUA JINSI YA KULA CHAKULA KWA NJIA ILIYO SAHIHI

Nimeona picha hizi kwenye mtandao wa Pundit cafe. Nimeona baadhi ya maelezo yanafaa ila unaweza kufwatilia na kuona kama zitakuwa msaada kwenu.










JINSI YA KUPUNGUZA UZITO KWA HARAKA