Friday, 26 August 2016

MATUNDA NA MBOGA MBOGA ZINAZOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO AMA KUONGEZA UZITO

Wakati wengi wanafanya kila juhudi kupunguza uzito wapo pia wanatamani kuongeza uzito. Nikaona sio vibaya nikiweka chati hii ili kama uko kwenye kundi la kupunguza uzito ujue ni matunda gani na mboga gani zinafaa katika safari ya kupunguza uzito na kwa wale wanaotaka kuongeza uzito vivyo hivyo.




No comments:

Post a Comment