Friday, 26 August 2016

KIWANGO CHA MAJI UNACHOTAKIWA KUNYWA ILI KUPUNGUZA UZITO KUTOKANA NA MWILI WAKO



Maji ni uhai katika mwili wa mwanadamu, lakini pia maji ni muhimu kwa afya na urembo. Unywaji wa maji mengi unasaidia kukupa mwonekano mzuri wa ngozi,kupunguza mwili, kuwa na afya na kukufanya mwenye nguvu. Watu wengi hawajui umuhimu wa maji katika mwili. Kwa wale wanaotaka kupunguza uzito kwa haraka inawapasa kunywa maji mengi . Utafiti unaonyesha kuwa kama unataka kupunguza uzito hakikisha unakunywa glass 2 za maji kabla ya kula hii itapelekea tumbo kujaa na wewe kula chakula kidogo.
Kwa wale wanataka kupunguza uzito hakikisha unajua uzito wako kabla ya kunywa maji ili uweze kuelewa ni kiwango gani cha maji unatakiwa kunywa ili kupunguza uzito wako.
Asubuhi kabla ya kitu chochote hakikisha unakunywa maji.


KUNYWA MAJI KWA AFYA BORA. 

No comments:

Post a Comment