Wednesday, 24 August 2016

VYAKULA VYA ASILI VYENYE UWEZO WA KUREJESHA NGUVU ZA KIUME

 Upungufu wa nguvu za kiume ni nini? ni mwanaume kutokuwa na uwezo wa kutoa mbegu bora zenye uwezo wa kutungisha mimba au kusimama kwa uume.
Ndoa nyingi hivi sasa zimekumbwa na tatizo la wanaume kukosa nguvu za kiume, takwimu zilizopo zinaonyesha zaidi ya asilimia 60 ya wanandoa wanakabiliwa na tatizo hili.
Kutokana na matatizo haya watu wengi wamejikuta wakiangukia kwenye dawa zisizofaa na kusababisha madhara zaidi na hadi kupelekea vifo.
Matatizo haya huchangiwa na kuugua kwa muda mrefu, kisukari,na mionzi ya simu. Pia dawa za kuulia wadudu zinaweza sababisha tatizo hili kutokana na kuwa na viambata sumu iitwayo estrogen, matatizo ya kisaikolojia na hata upigaji punyeto kwa muda mrefu na uulaji wa vyakula vyenye kemikali.

Kuna aina mbili ya viungo na matunda ambayo yamefanyiwa utafiti na kubainika kuongeza nguvu ya kiume na hakuna madhara katika uongezaji wa nguvu za kiume katika vitu hivyo vyenye uwezo wa kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya asili ni:-

TANGAWIZI


Tangawizi ni moja ya kiungo kinachoweza kurejesha nguvu za kiume, unaweza kuichemsha tangawizi na utaitumia kuinywa kama chai asubuhi, mchana na jioni. Pia tangawizi unaweza kuichanganya na habat soda,asali, kitunguu swaumu na tangawizi yenyewe.

JINSI YA KUTUMIA MCHANGANYIKO HUU
Chukua kitunguu swaumu na tangawizi vitwange kisha vichanganye na asali pamoja na habat soda na uwe unakunywa mchanganyiko huu kwa kutumia kijiko cha chai kutwa mara 3 kwa muda wa wiki moja na utaona mabadiliko.

TIKITI MAJI


Tunda hili nalo linasaidia kuongeza nguvu za kiume waweza kulila lenyewe au ukasaga juisi na kuinywa kila siku.

No comments:

Post a Comment