Sunday, 2 October 2016

UNASUMBULIWA NA MAFUA?

Mafua yamekuwa yakimpata karibia kila mtu ila kuna baadhi ya watu hupatwa na tatizo la mafua mara kwa mara, hivyo basi kama unaona unasumbuliwa mara kwa mara suluhisho lake ni kuhakikisha unakula kitunguu kibichi mara kwa mara kwa maana katika kitunguu kuna Vitamin C, fiber, sulfur na virutubisho vinginevyo.


  • USISUMBUKE TENA PONA MAFUA KWA HARAKA KWA KUTAFUNA KITUNGUU KIBICHI!!!

No comments:

Post a Comment